
Friday, June 28, 2013
Mwandishi wa Habari Kikaangoni baada kutoa habari juu ya mabega ya Mhanga

Ongeza Spidi ya "Tendo la Ndoa" huku ukipunguza Kupooza na Heart Attack
D'Banj Atoswa na Mrembo Jukwaani

Thursday, June 27, 2013
Hali ya Mandela bado si shwari


Maziwa ya Kichina yampasukia Mwanamke wakati amelala!!!

Tuesday, June 25, 2013
"Aibu" Mwanachuo avuliwa nguo baada ya kuiba simu.

Duuh!! Mzee wa Miaka 60 mbaroni baada ya kufumwa akivinjari na Binti ndani ya Gari!!!
-->
Ule usemi unaosema ng'ombe hazeeki maini umejidhihirisha juzi pale Mzee mmoja wa umri wa miaka 60 alipofumwa akijiachia na ka binti ka miaka 17 ndani ya gari. Mzee Opanyin Kofi Appiah alikamtwa baada ya kupatikana ushirikiano wa kutosha toka kwa wananchi wa maeneo ya Kwadaso Beposo walikuwa wakifuatilia nyendo zake baada ya kuvuja taarifa zake za kuwa na mahusiano na mabinti wadogo.

Saturday, June 22, 2013
Msichana anusurika Kubakwa, Amchoma Kisu na Kumuua Mbakaji Huyo!!

Siku ya tukio Ayobami alimpigia simu binti huyo na binti akamwambia ya kwamba yupo nyumbani na ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake, jamaa akamuuliza kama alikuwa na mipango yoyote ya sherehe, binti akamwambia hapana ni mapumziko na kuikumbuka tu siku hiyo, Ayobami akamwambia wakutani mida ya saa 1 jioni maeno fulani, binti alikubali, na alipoeenda wakaenda mpaka nyumbani kwa Ayobami ambaye alitumia muda mfupi kukaa katika laptop yake na baadae akamfuata na kumwambia ya kwamba anampenda na anaomba awe mpenzi wake. Onyinye alikataa sababu alihisi ni utani lakini jamaa alivyozidi kumsogelea karibu, binti huyo akagundua kuwa Ayobami amelewa, naye akakazania kupewa japo penzi kwa siku husika ikiwa hatamkubalia basi angemfanyia kitu mbaya.
Baada ya kukuru kakara za muda mrefu, jamaa akaelekea jikoni na kuchukua kisu ambacho alikuwa akimtishia msichana huyo huku akianza kumvua nguo kwa nguvu, kwa bahati kisu hicho kilidondoka chini na ndipo Onyinye alikiokota na kumchoma nacho, akaskia sauti kutoka kwa Ayobami akilalama kwamba kamchoma, Onyinye alikimbia na kwenda kutoa taarifa kituoni, polisi walipofika eneo la tukio walimkuta jamaa kashafariki na kisu kilimuingia katika moyo.
Mpaka sas binti huyo anashikiliwa na polisi mpaka uchunguzi utakavyo kamilika.
Friday, June 21, 2013
Exclusive!!List ya wanaume ambao Kim Kardashian amewahi kuwa nao!!!!

TJ Jackson (1994-1998)
Damon Thomas (m. 2000–2004)
Julian St. Jox (2001) (akiwa mke wa Damon)
Ray J (2002-s*x tape made 2003(akiwa mke wa
Damon)-2007)
Nick Lachey 2006
Nick Cannon (Sept 2006-Jan 2007)(akiwa ndani ya mahusiano na Ray J)
FONSWORTH BENTLEY (2006-Feb 2007)
Marquis Houston (March 2007)
Evan Ross (May 2007)
Reggie Bush (2006 (akiwa ndani ya mahusiano na Ray J)-2009/2010)
Christiano Ronaldo (April 2010)
Shengo Deane (April 2010)
Miles Austin (June 2010)
Michael Copon (October 2010)
Jon Mayer (October 2010)
Gabriel Aubrey (November 2010)
Kris Humphries (m. 2010–2013)
Kanye West (2007–present)
Pia Brett Lockett, The Game, 50 cent, Scott Storch........
Waigizaji wa Movie ya First Wife wafanya Mapenz* kiukweli
Hii ni Movie mpya ya msanii maarufu wa nchini Ghana, iitwayo My Fist Wife. Katika Movie hii mwanadada Nikki Samonas akiwa na Jim Iyeke, wanaonekana kukolea kimahaba na msanii mwenzake hadi kufikia kiasi cha kufanya kweli badala ya maigizo kama ilivyotakiwa. Kwa sasa wengi miongoni mwa mashabiki wake wamechukizwa na kitendo chake hicho, na hii imemletea picha na sifa mbaya katika Tasnia ya Uigizaji na jamii kwa ujumla.
Mwalimu apigwa miaka 5 jela kwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanafunzi wake.

Kwa ishara za midomo huku binti akitoa machozi. Kwa upande wake msichana huyo ametetea uamuzi wake wa kwenda na mwalimu huyo kwamba hakulazimishwa na ya kwamba wanapendana.
Imeelezwa kuwa jamaa alianza uhusiano na mwanafunzi huyo akiwa na umri wa miaka 14, na aliwahi kumbusu darasani na ndipo mambo yakaanza rasmi. Pia katika ziara yao ya huko Ufaransa wamekuwa wakifanya mapenzi hadi mara 8 kwa siku moja ikiwa ni hotelini na katika gari.
Tuesday, June 18, 2013
"Sitakubali Kudhalilishwa katika Mitandao ya Kijamii" Eniola
Muigizaji Eniola Badmus amesema kwamba hayupo tayari kumvumilia mtu yoyote atakae mdhalilisha katika mitandao ya kijamii kwa sababu ya umbo lake. anajua nini anachokifanya na anaishi atakavyo.
Lil Wayne kitimoto kwa kukanyaga bendera ya US
Rapper Lil Wayne amejikuta katika mtafaruku na raia wa nchi baada ya kuonekana katika video moja akitembea juu ya bendera ya nchi hiyo. hata hivyo yeye mwenyewe amejitetea na kusema kwamba hakuikanyaga kwa makusudi.
Kim aapa kutobeba ujauzito tena
--> Mwanadada Kim Kardashian amejiapiza kutozaa tena baada ya kuwa anasumbuliwa na maumivu makali ya tumbo baada ya kujifungua.
Mwalimu wa chuo kikuu aacha kazi baada ya kutupiwa Condom zilizotumika
--> Mkufunzi mmoja katika chuo kikuu nchini marekani ameamua kuacha kazi baada ya matukio ya mara kwa mara yanayofanywa na baadhi ya wanafunzi wake kwa kumwachia condom zilizotumika katika ofisi yake ikiwa ni ishara ya kutomkubali. " Ni mazingira magumu ya kazi nnayokutana nayo" alisema baada ya kufikia uamuzi huo.
Subscribe to:
Posts (Atom)