Hapa akikaa chini kabisa na kuvua kofia kama ishara ya heshima
![]() |
Hapa akiinamisha kichwa chini baada ya kuamka |
Wengi wamempongeza Askari huyo kwa kitendo chake hicho cha kishujaa na kuonesha Heshima ya Hali ya Juu, ingawa baadhi ya watu wamemponda kwa kumwambia amejidhalilisha, wewe unaonaje?
No comments:
Post a Comment