Friday, July 19, 2013

Picha: Angalia Askari wa Fiji Akitoa Heshima kwa Queen wa England


 Hapa akikaa chini kabisa na kuvua kofia kama ishara ya heshima
Hapa akiinamisha kichwa chini baada ya kuamka
Pichani ni Sajenti Rusiate Bolavucu, 32, ambaye ameweza ku make head lines kwa kitendo chake cha kuketi kitako huku akiinama chini na baadae kuinamisha kichwa chini akiwa miongoni mwa askari maalum walioandalia kwa ajili ya kumpokea malikia wa Uingereza alikuwa ziarani huko Fiji Siku ya Juzi.

Wengi wamempongeza Askari huyo kwa kitendo chake hicho cha kishujaa na kuonesha Heshima ya Hali ya Juu, ingawa baadhi ya watu wamemponda kwa kumwambia amejidhalilisha, wewe unaonaje?

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets