Wednesday, January 29, 2014

AMBER ROSE, JIKO LA WIZZY KHALIFA, ATUPIA ZA KIMETEGO MTANDAONI, NI SHIDAAA!!!!


Hakika ni kama anajaribu kuwatega watu kwa umbile lake matata, kwani hivi karibuni mrembo huyu aitwaye Amber Rose aliamua kuzitupia picha zake kwenye mitandao ya kijamii katika hali tu ya kushea picha hizo na watu wake! Hakika ni mkali...

Mcheki hapo chini kwa picha zaidi...


DC.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets